• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Nyuki na Misitu
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Maendeleo ya Jamii

Idara ya Maendeleo ya Jamii ni Idara mtambuka ambayo hutekeleza majukumu yake kwa kushirikiana na idara nyingine na Wadau wa Maendeleo. Shughuli zilianza kutekelezwa na idara kuanzia Novemba 2012.

Idara ya Maendeleo ya Jamii ina wajibu wa kuunganisha na kushirikisha Wananchi katika upangaji na utekelezaji wa shughuli za Maendeleo. Kujengea Jamii uelewa wa Sera, sheria na mikakati ya Maendeleo na Haki za bindamu.

Sambamba na hayo Idara hushiriki na kuratibu sherehe mbalimbali  za Kitaifa na kimataifa katika maadhimisho ambayo hutoa jumbe  kwa Maendeleo ya Jamii na haki za binadamu,

Idara imekuwa ikihamasisha jamii kutekeleza shughuli za uzalishaji mali katika vikundi, kuratibu  utoaji  wa mikopo kupitia kamati ya Mikopo iliyoundwa ili kutekeleza shughuli za Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake( WDF) na Vijana  (YDF) uundaji wa SACCOs ya Vijana, VICOBA na kusajiri vikundi vya kijamii CBOs lengo likiwa kuwezesha vijana na jamii kwa ujumla kujitambua na kuona thamani yao kiuchumi na kutambua fursa zilizopo ndani ya nchi yao pamoja  na kuondokana na utumwa wa fikra na mtazamo juu ya suala la kuajiriwa na kuwa na uthubutu wa kujiajiri na kutengeneza ajira kwa vijana wenzao. . Uandaaji wa Mazingira na masuala ya jamii katika utekelezaji wa Miradi ya uboreshaji Mji wa Geita (ULGSP) na uboreshaji wa nyumba bora, majiko sanifu ambayo ni fursa kwa jamii kiuchumi na utunzaji wa mazingira

Idara imekuwa ikihamasisha jamii kujikinga na Maambukizi mapya ya UKIMWI na Unyanyapaa, Uhamasishaji na upatikanaji wa takwimu za Wazee, watu wenye ulemavu na watoto wanaoishi katika mazingira magumu pia hutoa huduma kwa jamii katika kushughulikia matatizo ya kifamilia ili kuleta ustawi bora wa jamii kupitia Afisa Ustawi wa Mji pamoja na kushughulikia Dawati la Malalamiko.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI February 23, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI July 22, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ZA MACHINJIO August 16, 2022
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA GEITA MJI December 02, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Bilioni 9.8 Kutekeleza Miradi Geita Mji Kupitia CSR

    March 22, 2023
  • Wanawake Watakiwa Kuwa Vinara Kupinga Ukatili

    March 10, 2023
  • Geita Gold FC Yazindua Mfumo Wa Usajili Wa Wanachama

    February 23, 2023
  • Madiwani Geita Mji Wafanya Ziara Ya Mafunzo Chalinze

    February 16, 2023
  • Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MACHINJIO YA KISASA MPOMVU
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa