• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Procurement Management

Halmashauri ya Mji wa Geita ina Kitengo cha Manunuzi na Ugavi ambacho kimeundwa kwa mujibu wa sheria ya Manunuzi Namba 07 ya Mwaka 2011 Kifungu 37 ambapo sheria hiyo inaitaka Taasisi ya Serikali iwe na Kitengo cha Ugavi (Procurement Management Unit).

Kitengo cha Ugavi kinatakiwa kiwe na Mkuu wa Kitengo mwenye elimu aliyo somea ujuzi huo na sifa, uzoefu katika kazi za manunuzi na pia awe amesajiliwa na Bodi ya manunuzi (Professional Body) kama Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2011 kifungu Na 37(3) kinavyoeleza.

Kwa mujibu wa sheria, Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi na Ugavi ataripoti moja kwa moja kwa Afisa Masuuli (Mkurugenzi) wa taasisi husika.

Afisa Masuuli wa taasisi atahakikisha kwamba Kitengo cha Manunuzi na Ugavi (PMU) kinatengewa fedha kwenye bajeti ili kiweze kutimiza majukumu yake.

Majukumu ya Kitengo cha Manunuzi na Ugavi yametajwa katika Sheria ya Manunuzi ya Umma namba 7 ya Mwaka 2011 Kifungu cha 38 (a-q).kama ifuatavyo:

  • Kusimamia manunuzi na mauzo ya mali za Halmashauri yote yanayofanyika ndani ya taasisi kwa njia ya zabuni.
  • Kuwezesha shughuri za Bodi ya Zabuni.
  • Kutekeleza maamuzi ya Bodi ya zabuni.
  • Kuwa Sekreterieti kwenye vikao vya Bodi ya zabuni.
  • Kupanga manunuzi na mauzo ya mali za Halmshauri kwa njia ya zabuni.
  • Kushauri manunuzi na mauzo ya mali za Halmshauri kwa kuzingatia taratibu za zabuni.
  • Kukagua na kuandaa maelezo ya mahitaji ya manunuzi.
  • Kuandaa makablasha ya zabuni.
  • Kuandaa matangazo ya nafasi za zabuni.
  • Kuandaa mikataba
  • Kutoa mikataba iliyokwisha sainiwa kwa wahusika.
  • Kutunza kumbukumbu ya taratibu za manunuzi na mauzo ya mali za Halmshauri.
  • Kutunza orodha ama reja ya mikataba yote
  • Kuandaa taarifa ya manunuzi ya mwezi kwa ajili ya Bodi ya zabuni.
  • Kuandaa na kuwasilisha taarifa za utekelezaji wa mpango wa manunuzi wa mwaka kwa menejimenti kwa kila robo.
  • Kuunganisha shughuri za manunuzi na mauzo ya mali za Halmshauri ya Idara mbalimbali ndani ya Taasisi.
  • Kuandaa taarifa nyinginezo iwapo zitahitajika.



Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 MKOA WA GEITA July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI August 18, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI July 22, 2022
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA GEITA MJI December 02, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Geita Mji Yasaini Utekelezaji Miradi ya TACTIC

    September 24, 2023
  • Geita Mji Yanufaika na Vifaa vya Michezo

    September 21, 2023
  • Serikali Yawaonya Wanaojinufaisha Kupitia Makazi Ya Watoto

    September 15, 2023
  • Watumishi Waaswa Kuchapa Kazi Kwa Bidii

    September 14, 2023
  • Zaidi

Video

ASANTE SERIKALI YA AWAMU YA SITA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa