• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Maabara ya Kutest Vifaa vya Barabara

Posted on: June 7th, 2019

Maabara ya Kwanza ya Ujenzi Yajengwa Geita Mjini

Kukamilika kwa ujenzi wa Maabara inayojengwa katika makao makuu ya Halmashauri ya Mji wa Geita kwa ajili  ya kupima vifaa vya ujenzi wa barabara( materials) kama vile mchanga, udongo,  kokoto, mawe nk kutawezesha  urahisi wa kufanikisha vipimo vyote vya muhimu vinavyotakiwa kufanywa kabla ya kuanza kazi za ujenzi wa barabara.

Akizungungumza na mwandishi wa habari hii, Meneja wa Wakala wa Barabara Vijijjini na Mijini( TARURA) Geita Mji , Mhandisi Theresa Bernado amesema kuwa hatua za ujenzi wa maabara hiyo ni wa kuridhisha na baada ya usajili wake kukamilika kulingana na taratibu zilizowekwa itafunguliwa rasmi kwa ajili ya kuanza kazi.

Mhandisi T. Bernado ameongeza kuwa baada ya usajili kukamilika maabara itaajiri watumishi ambao watakuwa na uwezo wa kuhudumia kazi zote za ujenzi wa barabara ndani nan je ya Halmashauri ya Mji wa Geita kwa ufanisi  na umakini wa hali ya juu.

Kwa upande wake Mhandisi wa Ujenzi wa Halmashauri ya Mji Geita Mhandisi Ipyana Mwamwembe ambaye ndiye msimamizi wa ujenzi huo amesema shughuli ya ujenzi wa maabara hiyo utakapokamilika kwa asilimia 100 watakabidhi jengo hilo kwa TARURA ambao ndio wataratibu shughuli zote za upimaji wa vifaa vya barabara. Maabara hiyo imejengwa kwa zaidi ya Shilingi Milioni 70 kutoka fedha za mpango wa uboreshaji miji( ULGSP) unaofadhiliwa na Benki ya Dunia.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UCHAGUZI MKUU 2025 October 06, 2025
  • TAARIFA YA UKAGUZI WA TAARIFA ZA FEDHA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024 August 11, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA DEREVA II September 04, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Wiki ya Unyonyeshaji 2025 | Elimu ya Unyonyeshaji Yatolewa kwa Wazazi Geita Manispaa

    August 06, 2025
  • WACHEZAJI 43 WA MANISPAA YA GEITA WAPEWA HAMASA KUELEKEA MASHINDANO YA SHIMISEMITA 2025

    August 11, 2025
  • KARIBU NANE NANE 2025!

    August 08, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA GEITA APONGEZA UBUNIFU NA MAANDALIZI YA NANENANE

    August 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa

  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AERO88
  • YAMITOTO
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • YAMITOTO
  • AXL777
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • KOI200 GACOR
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • UFABET
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200