• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Nyuki na Misitu
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Ujenzi Wa Madarasa 71 Waanza Kwa Kasi Geita Mji

Posted on: October 25th, 2022

Ujenzi wa Madarasa 71 Waanza Kwa Kasi Geita Mji

Ujenzi wa vyumba 71 vya madarasa katika Shule 12 za sekondari  zilizoko katika Halmashauri ya Mji wa Geita umeanza kutekelezwa ambapo wananchi wa maeneo husika  kwa kushirikiana na mafundi wazawa wamejenga msingi wa majengo hayo na kwa sasa iko katika hatua za ukamilishwaji.

Akizungumza na mwandishi wa Habari hii hivi karibuni Mkuu wa idara ya ujenzi Halmashauri ya Mji wa Geita Mhandisi Makongoro Igungu amesema kuwa ujenzi wa misingi ya madarasa katika shule zote 12 ambazo zinatekeleza mradi huo umeshaanza ambapo umewashirikisha wananchi wa maeneo husika na kwa sehemu kubwa ujenzi wa hatua ya msingi uko katika hatua za ukamilishaji.

Mhandisi Igungu ameeleza kuwa idara yake kwa kushirikiana na idara ya elimu Sekondari imejipanga kikamilifu katika usimamizi na ufuatiliaji wa ujenzi huo na kwamba watahakikisha ujenzi unakamilika ndani ya muda uliopangwa na kujenga madarasa yenye viwango vya hali ya juu kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza 2023 kupata mahala pa kujifunzia.

Hivi Karibuni Halmashauri ya Mji wa Geita ilipokea jumla ya Shilingi 1,420,000,000( Bilioni 1.4) kutoka Serikali kuu kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 71 vya madarasa ambayo yatatumiwa na wanafunzi wanaotaraji kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2023 katika shule 12 zilizobainika kuwa na uhitaji Zaidi wa madarasa ya msingi.

Shule zilizopokea fedha kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023 ni pamoja na Shule ya Sekondari Bombambili, Bulela, Ihanamilo, Kalangalala, Kisesa, Kivukoni, Lukaranga, Mkangala, Mwatulole, Nyabubele, Nyanguku na Shantamine ambapo kila chumba cha darasa kitajengwa kwa shilingi milioni 20.


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 February 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI July 22, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ZA MACHINJIO August 16, 2022
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA GEITA MJI December 02, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Kamati Ya Siasa Mkoa Yakoshwa na Miradi Geita Mjini

    February 06, 2023
  • Wananchi Waaswa Kujitoa Katika Ujenzi Wa Miradi

    January 27, 2023
  • Kamati Ya Siasa Wilaya Ya Geita Yaridhishwa na Miradi Geita Mji

    January 26, 2023
  • Walimu 668 Geita Mji Wanufaika na Vishikwambi

    January 18, 2023
  • Zaidi

Video

Machinjio ya Kisasa Mpomvu Yaanza kazi
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa